Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed Seif Farai
Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed Seif Farai, alipozungimza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho katika wilaya ya Itilima mkoani humo.
Amesema ingawa lengo la nchi ni kukusanya tani milioni moja ya zao la pamba, lakini Simiyu lazima iwe kinara katika makusanyo ya zao hilo la kiuchumi.