Jumanne , 30th Mei , 2017

Mzee Francis Kanyasu (86) aliyechora Nembo ya Taifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Kwa pamoja East Africa Tv inatoa pole kwa Familia ya Mzee Kanyasu pamoja na watanzania wote kwa ujumla.