Kwa pamoja East Africa Tv inatoa pole kwa Familia ya Mzee Kanyasu pamoja na watanzania wote kwa ujumla.
Jumanne , 30th Mei , 2017
Mzee Francis Kanyasu (86) aliyechora Nembo ya Taifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.