Search

Entertainment News

Lillian mjamzito tena

Moja ya mwanamuziki wa Uganda mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Lillian Mbabazi ambaye alikuwa ni moja ya wanadada wanaounda kundi la Blu 3 amefahamika kuwa ni mjamzito kwa mara nyingine tena.

Lilian ambaye anaaminika kuwa na ujauzito wa miezi miwili sasa, tayari ana mtoto wa miezi 8 ambaye baba yake ni yule yule mkali Moze Radio kutoka Goodlyf crew.

Lilian na Radio walikutana na kuanza mahusiano mwaka 2009 wakati walipokuwa wanarekodi ngoma ya “Where You Are” iliyokamata chati vilivyo katika kipindi hicho.

Print

More Entertainment News

Baada ya kimya kirefu na kupotea kabisa kwenye gemu ya muziki nchini,Tanzania msanii Mike Tee ameibuka na kuongea na enewz kuhusiana na vigezo watumiavyo kuwachagua wasanii kushiriki katika vinyanganyiro more
Mcheza filamu nchini Tanzania Vincent Kigosi 'Ray' ameweka wazi kuwa, atachukua kipindi chote cha mwaka mzima wa 2012 kwa kutoonekana luningani. Vincent amesema kuwa hivi sasa ana mpango wa kutengeneza more
Mwanamuziki K'Naan amenuia kuchana mawimbi katika ulimwengu wa rap, na amesimama kwa karibu na mkali wa michano, rapa Nas kutoka Marekani. Wawili hawa wamedondosha kollabo ya pamoja inayokwenda kwa more
Katika kuonyeha kama muziki unaungana vizuri pamoja na sekta zingine muhimu za kijamii bila kuwa na muonekano wa kiofisi zaidi, Mwanamuziki Juliani ameibuka na kuonyesha mwanga katika hili. Mwanamuziki more
Mwanamuziki mwenye kipaji wa nchini Uganda ambaye anafanya kazi zake huko Korea  Josh Roy ametambuliwa kama moja ya mwanamuziki mwenye mchango mkubwa katika upande wa Reggae huko Korea. Kwa mujibu more
Tuzo zenye hadhi kubwa za The Groove mahsusi kwa ajili ya muziki wa Injili nchini Kenya kwa mwaka huu, sasa ziko karibuni kufanyika. Waratibu wa shughuli ya mwaka huu wametangaza ujio mkubwa zaidi ambapo more
Baada ya kupotea kwa miezi kadhaa, Mwanamuziki Bella wa nchini Uganda amerudi kwa kasi na nguvu zaidi, safari hii akiwa na kazi inayokwenda kwa jina 'Wakooli'sambamba na video yake. Kazi hii sambamba more
Baadhi ya mitandao nchini Naijeria imesambaza uvumi kwamba nyota anayetamba vilivyo katika muziki 2face ameaga dunia ambapo Enewz imechukua hatua ya kuchunguza sakata hili kwa umakini ili kupata ukweli more
Rapa Octopizzo kutoka Nairobi ametajwa kama moja ya marapa ambao wanaelewa jinsi ya kuzisaka pesa kutokana na hatua zake za kiujasiriamali kuonyesha kukua siku hadi siku. Kutoka katika kuuza mixtepu, more
Waratibu wa maadhimisho ya Jubilee ya Malkia wa Uingereza itakayofanyika huko Windsor, UK tarehe 2 hadi 5 mwezi jini, wameialika kwaya ya The Nairobi Chambers Chorus kufanya onyeho katika ufunguzi wa tukio more
News Poll

 Prime Time

19 00
19 50
  eNEWZ
20 00
  URBAN HEAT
20 55
  MUHTASARI WA MICHEZO
21 30
  URBAN HEAT
21 50
  KURASA
22 00
  TOP 10

 EATV Shows