Msanii Juma Nature
Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Juma Nature amesema kwa jinsi alivyojiwekea msingi imara katika eneo lake, ana imani bila kujali ni chama gani atatumia kugombea, lakini lazima atafanikiwa kuingia mjengoni kuwawakilisha wananchi wake, huku akiwapindua wale waliozoeleka kuingia bungeni.
Msikilize hapa chini..