Mtangazaji wa East Africa Tv Bhoke Egina
Bhoke amesema hilo kwenye show ya Dadaz ya East Africa Tv ambapo amenukuliwa akisema "Mimi nikikupenda sijali wala siombi pesa kwanza nina kila kitu, nikiwa na Mwanaume nataka ajue kwamba nimempenda kutoka moyoni"
Sasa mara baada ya kusema hivyo amezua mijadala kwa watumiaji wa mtandao wa Twitter ambapo wame-comment kuhusu alichokisema kwa kuandika kuwa
"Maneno haya usemwa na wadada wengi walioko single" Craldo 19
"Vizuri" Excellence Management
"Kipo anachotaka japo ana kila kitu" Kzg Kzg 200
"Mimi nataka niwe naye" Ally Hussein A Town
Hizo ni comment za baadhi ya watu waliotoa maoni yao kuhusu alichokisema Bhoke kwenye show ya Dadaz siku ya Leo Septemba 17, 2020.
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.