Riyama alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live na na kuongeza kwamba ukiacha dharau ambazo mastaa wamekuwa wakionyesha kwa mashabiki zao sababu nyingine ni pamoja na wasanii kuendekeza starehe sana.
Hata hivyo Riyama amewataka wasanii hao kujipanga upya, kuwa wamoja na kuwaheshimu mashabiki ambao wamewafanya kuwa hapo walipo na kusema wasiendeshwe tu na watu kwa maslahi yao binafsi.
Itazame hapa chini video hii Riyama akifunguka mengi zaidi