Picha ya kijana huyo na mke wake
Akielezea kwanini amechagua kuoa mwanamke huyo aliyemzidi umri Nyanchew amesema
"Kama unavyotuona kwenye picha, huyu ni mwanamke mzuri ana kitu cha kipekee ambacho mtu mwingine hawezi kujua".
Ndoa ya wawili hao Nyanchew na Dong Dong Tut Banang ilifungwa siku za hivi karibuni Melbourne, Australia.
Chanzo ; Tuko News