Baadhi ya maneno aliyoandika John Bocco kwenye mtandao wa kijamii
Kumekuwa na taarifa kwamba Azam FC wameamua kuachana na Bocco ambaye ameichezea klabu hiyo tokea ianzishwe.
Ambacho kinaonekana kuwashitua mashabiki ni Bocco kutupia maneno kadhaa ya mafumbo kwenye mitandao ya kijamii ambayo wengi wametafsiri kuwa huenda akawa anaaga.