Hata hivyo siku ya leo Geofrey Nyange 'Kaburu' hakuweza kufikishwa Mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mgonjwa amelazwa katika hospitali ya magereza.
Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam, Victoria Nongwa ambapo washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matano ambayo mawili kati ya hayo ni ya kutakatisha fedha.