Louis Van Gaal
Van Gaal, mwenye umri wa miaka 65, amekuwa nje ya kazi tangu atemwe na Manchester United, mwezi Mei mwaka 2016.
Van Gaal, alitangaza kujitoa wakati akipokea tuzo ya mafanikio ya muda mrefu, iliyotolewa na Serikali ya Uholanzi, kumpa heshima yake ya mchango wake kwenye mpira wa miguu.
Van Gaal amechukua mataji ya ligi na vilabu vya Ajax (1993-94, 1994-95, 1995-96), Barcelona (1997-98, 1998-99), AZ Alkmaar (2008-09), Bayern Munich (2009-10)
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya Ajax (1994-95) na Uefa Cup: Ajax (1991-92), pamoja na FA Cup: Manchester United (2015-16)