Sports in brief
Vilabu nane vya mchezo wa kuogelea nchini Tanzania vimethibitisha kushiriki katika michuano ya majaribio ambayo imeandaliwa na chama cha kuogelea nchini Tanzania (TSA) ili kuchagua wachezaji watakaoiwakilisha nchi katika michuano ya ubingwa wa Afrika CANA zone ya tatu na ya nne michuano itakayofanyika Msumbiji.
Mshauri wa Ufundi wa TSA Marcelino Ngaliona amesema jijini Dar es salaam jana kuwa chama chake kimevishauri vilabu vya kuogelea mikoani kuratibu mashindano na kuchagua waogeleaji bora ambao wataghirijki katika michuano hiyo ya majaribio.
Michuano hiyo ya majaribio itafanyuika February 4th katika shule ya Heavens of Peace Academy HOPAC iliyoko Kunduchi jijini Dar es salaam.
Print
More Sports in Brief
Prime Time
EATV Shows