Wanamuzi wa dansi wamelalamika kuwa wanamuziki wa Bongo fleva wamechezesha mamluki katika mechi iliyoandaliwa kwa ajili ya kuchangisha pesa kwa ajili ya waanga wa mafuriko Dar es salaam ambayo ilichezwa tarehe 5/02/2012. Asha Baraka ambaye ndio mlezi wa timu ya wanamuziki wa dansi alizungumza hayo wakati akiojiwa na kipindi cha Afrobeat.
Print
Comments
Next On:
EATV Shows