Bendi ya muziki wa Dansi ya Akudo Impact ya jijini Dar es salaam imeongeza nguvu katika safyu yake ya uimbaji kwa kuongeza wanamuziki watatu kutoka DRC, na wanamuziki hao wapo katika program maalumu ya kutambulishwa katika maonyesho yote yanayofanywa na bendi hiyo kwa hivi sasa.
Print
Comments
Next On:
EATV Shows