Wakali wa Hip hop wakifanya makamuzi.
Mkali wa Hip hop LP mastar kwenye pozi
Mkali Dimpozz kwa pozzz akijiachia kwennye pozz kali.
Mtayarishaji wa muziki kutoka ughaibuni Fundi Samweli katika pozi la video.
Lukas Mkenda aka Mice akili kupitia planet bongo kuwa yeye ni mkosaji na hana wakumlaumu
Mwana Saynag Dada kutoka Zanzibar Akifunguka kupitia Planet Bongo
Mkali wa muziki wa kizazi kipya Tanzania Suma Lee
Wakali wa wili Zilla na Mjukuu katika Pozi la mahojiano.
Timbulo akipiga poz kali.
Mkali na muazilishi wa mtindo wa ragga Tanzania Sogy Dogy Anta akiwadatisha mashabiki katika Tamasha kubwa la Burudani kwa