Imekuwa ni mara chache sana kwa mtu kuweka wazi kwamba ameshindwa kufanya kitu fulani, lakini kwa mtayarishaji wa Muziki wa kizazi kipya na Muasisi wa Muziki huo maarufu kwa jina la Majani imekuwa ni tofauti kwake.
P Funk amekuwa kimya kwa muda na kimya chake si kukwama bali alikuwa na matatizo ya kifamilia. Alikumbwa na matatizo hayo lakini amesema kwamba sasa amerudi kwenye muziki na anataka kufanya wa kimataifa zaidi na mpaka sasa keshafanya kazi na wasanii kadhaa kutoka nje ya Tanzania .... hayo yote ni kupitia Planet Bongo ya Eatv na Mjukuu wa Ambua.
Print
Comments
Next On:
EATV Shows