Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.

5 Jul . 2022

Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.

4 Jul . 2022

Dkt Ibrahimu Ibrahimu akikabidhi taulo za kike Kwa Mratibu wa Kampeni ya Namthamini, Evelyne Ngalo.

27 Jun . 2022

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa IPP, Bw. Abdiel Mengi (kulia) ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

20 Jun . 2022

kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.

17 Jun . 2022

wanafunzi wa Turiani wakifurahi baada ya kukabidhiwa taulo za kike za mwaka mzima.

16 Jun . 2022

Amri akikabidhi mchango wake katika ofisi za East Africa TV, Mikocheni.

9 Jun . 2022

Rais wa Rotary Club of Dar es Salaam, Aisha Sykes.

7 Jun . 2022

Bi. Beatrice Bandawe (kushoto) akipokelewa taulo za kike na Rita Chuwalo (kulia)

6 Jun . 2022

Wanafunzi wa Sekondari ya Maendeleo.

3 Jun . 2022

Bi. Hellen akikabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV & Radio

31 Mei . 2022

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Kidete na Kibugumo.

27 Mei . 2022

Kampeni ya Namthamini kuzinduliwa 27, Mei, 2022

21 Mei . 2022

Wanafunzi wa shule ya Uhuru Mchanganyiko wakifurahi na mtangazaji Vaniladama

7 Dec . 2021

Ugawaji wa taulo za kike wilayani Bagamoyo

6 Dec . 2021