Mauaji hayo ya watu wa tatu yalitokeaa siku ya semptemba 22 katika wilaya ya Serengeti ambambo moja ya waliouwawa ni mjomba wake na katibu hiyo wa chadema anaefahamika kwa jina la Mugare Makori.
Chanzo cha kukamatwa kwa Catherine Ruge ni kwa ajili ya mahojiano na Jeshi la polisi ili kuelezea mauaji ya watu hao wa tatu .
Akithibitisha kukamatwa kwa katibu hiyo wa BAWACHA, kamanda wa Jeshi la Polisi Longinus Tibishibwamu amesema wamemkamata Ruge kwani ni takwa la kisheria ambapo anatakiwa kuthibitisha tuhuma za Jeshi la Polisi kufuatia mauaji ya watu watatu waliouawa wakati wakirushiana risasi na sskari polisi.