Mbunge wa Ndanda CHADEMA Cecil Mwambe
Mwambe amefikia uamuzi huo leo Februari 15, 2020 katika makao makuu ya CCM Lumumba, jijini Dar es salaam ambapo amedai sababu ya kufanya hivyo ni kutokana na kuwepo kwa makundi ya cama hicho.
'Kuanzia leo Februari 15, 2020 ninajivua Ubunge wangu na nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, na nimeamua kujiunga na CCM' - Cecil Mwambe aliyekuwa Mbunge wa Ndanda
BREAKING NEWS : CECIL MWAMBE ATANGAZA KUACHANA NA CHADEMA NA KUOMBA KUJIUNGA NA CCM
'Kuanzia leo Februari 15, 2020 ninajivua Ubunge wangu na nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, na nimeamua kujiunga na CCM' - Cecil Mwambe aliyekuwa Mbunge wa Ndanda pic.twitter.com/vIDzNITub0
— East Africa TV (@eastafricatv) February 15, 2020
Tazama video kamili hapo chini