Kauli hiyo wa Naibu Waziri imekuja leo wakati akifanya uzinduzi wa dua la simu ambapo ametoa takwimu kwamba asilimia 94 ya watanzania wanatumia mawasiliano kwa njia ya simu.
Aidha Mh. Nditiye amesema kwamba endapo mawasiliano hayo yatatumiwa vizuri yatasaidia nchi kupiga hatua za kimaendeleo.
Aidha Mh. Nditiye amewataka watoa huduma za mawasiliano kuhakikisha kuna kuwa na huduma bora na zinazokidhi mahitaji.