Meya wa Manispaa ya iringa, Alex Kimbe
Kura hizo zimefanyika leo katika Manispaa y Iringa, ambapo katika kikao hicho Madiwani 14 walikuwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku Madiwani 12 wakitoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Kwa mujibu wa Mwakilishi wa EATV mkoani Iringa Mwajuma Hassan ameeleza baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo Meya Alex Kimbe amesema bado anajitambua kuwa yeye ni Meya halali.
#HABARI Meya wa Manispaa ya Iringa Alex Kimbe ameondolewa kwenye nafasi yake baada ya Madiwani 14 kati ya 26 kumpigia kura ya kutokuwa na imani na yeye.
Kwa mujibu wa mwandishi wa EATV kutoka Iringa Meya Kimbe amesema hakubaliani na uamuzi huo.#HatmaMeyaIringa pic.twitter.com/hFuLNOWNnO
— East Africa Radio (@earadiofm) March 28, 2020
Tazama mwanzo mwisho kuondolewa kwa Meya hapo chini.