Hospitali ya KCMC mkoani Kilimanjaro
Akiongea na Supa Breakfast ya East Africa Radio leo Februari 15, 2021, Gabriel Chiseo amesema, "Madaktari kwenye ngazi zote wote wako kwenye majukumu yao ya kawaida, hakuna mwenye wazo wala mwenye nia yakufanya mgomo" - Msemaji wa Hospitali ya KCMC Kilimanjaro, Gabriel Chiseo.
Aidha ameongeza kuwa, "Kwenye vifaa vya PPE sio kweli kuwa tumevikosa ama kuna uhaba hata kama kuna vifaa tunavikosa sisi huwa kuna namna tunavipata na hili halijawahi kutokea katika hospitali ya KCMC" - Msemaji wa Hospitali ya KCMC Kilimanjaro, Gabriel Chiseo.
Zaidi msikilize hapo chini