Waziri Hamad Rashid amesema mgonjwa huyo aliingia Zanzibar akitokea nchini Uingereza, ambapo huyo anakuwa mgonjwa watatu kuliropitiwa visiwani humo.
#HABARI Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid, ameeleza kuongezeka kwa mgonjwa mwingine wa Corona ambaye ni Mtanzania.
Waziri Hamad Rashid amesema mgonjwa huyo aliingia Zanzibar akitokea nchini Uingereza. pic.twitter.com/nhYZalwskz
— East Africa TV (@eastafricatv) March 28, 2020
Wakati huo Tanzania bara Waziri Mkuu Majaliwa amepokea msaada wa vitu na pesa taslimu kwa ajili ya kusaidia kupambana na corona