
(Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya klabu ya Simba Sports Club, Mohammed Dewji (kushoto) alipokuwa na marehemu, Mjumbe wa bodi na Mwenyekiti wa kamati ya Usajili wa klabu hiyo Zacharia Hans Pope enzi za uhai wake.)

Mashabiki wa klabu ya Yanga wakiwa kwenye dimba la BW Mkapa kushangilia timu yao kwenye moja ya mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara.

Mratibu wa Programu ya Ongea na Vijana kutoka Tume ya Kudhibiti uUkimwi nchini (TACAIDS) Dkt. Pendo Saro.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa akiongea akiwa bungeni leo jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Kushoto ni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile, na kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi.

Yanga na Simba walipokutana msimu uliopita

Kushoto ni Chidi Benz kulia ni Lil Nas x