Rais Magufuli na Prof. Shadrack S. Mwakalila
#HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amemteua Mhandisi Emmanuel Korosso kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL). Uteuzi huu umeanza Nov 9, 2019. Korosso anaendelea na kipindi cha pili baada cha kwanza kumalizika. pic.twitter.com/a2Ki7xglOq
— East Africa TV (@eastafricatv) November 10, 2019
Rais Magufuli pia amemteua Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kyaruzi anaingia katika kipindi cha pili katika nafasi hiyo baada ya kile cha kwanza kumalizika.
#HABARI Rais @MagufuliJP pia amemteua Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kyaruzi anaingia katika kipindi cha pili katika nafasi hiyo baada ya kile cha kwanza kumalizika. pic.twitter.com/FU55VQvxov
— East Africa TV (@eastafricatv) November 10, 2019
Katika hatua nyingine Rais Magufuli amemteua Bw. Joseph Odo Haule, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board). Haule pia anaingia katika kipindi chake cha pili cha uongozi baada ya kile cha kwanza kumalizika.
#HABARI Katika hatua nyingine Rais @MagufuliJP amemteua Bw. Joseph Odo Haule, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board). Haule pia anaingia katika kipindi chake cha pili cha uongozi baada ya kile cha kwanza kumalizika. pic.twitter.com/xiZn4EWbMG
— East Africa TV (@eastafricatv) November 10, 2019
Rais Magufuli amemteua Dkt. Felician Bakamaza Kilahama, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI). Anaendelea katika nafasi hiyo kwa kipindi cha pili sasa baada ya kile cha kwanza kumalizika.
#HABARI Rais @MagufuliJP amemteua Dkt. Felician Bakamaza Kilahama, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI). Anaendelea katika nafasi hiyo kwa kipindi cha pili sasa baada ya kile cha kwanza kumalizika. pic.twitter.com/laLrpqAU57
— East Africa TV (@eastafricatv) November 10, 2019
Rais Magufuli amemteua Prof. Shadrack S. Mwakalila kuwa mkuu wa chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Memorial Academy) kuanzia Novemba 8, ikiwa ni katika kipindi chake cha pili kufuatia kile cha kwanza kumalizika.
#HABARI Rais @MagufuliJP amemteua Prof. Shadrack S. Mwakalila kuwa mkuu wa chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Memorial Academy) kuanzia Novemba 8, ikiwa ni katika kipindi chake cha pili kufuatia kile cha kwanza kumalizika. pic.twitter.com/REH9sMlKJI
— East Africa TV (@eastafricatv) November 10, 2019