Akizungumza na ww.eatv.tv, Kamanda Njewike amesema kwamba Mkurugenzi huyo alivamia kanisa akiwa na askari wa wanyama pori baada ya kuwepo kwa malalamiko ya kuharibu mali, na kwamba baadhi ya watuhumiwa walikuwa kanisani hapo.
Kamanda Njewike amesema mpaka sasa watu saba wanashikiliwa kwa mauaji hayo, na uchunguzi wa kipolisi bado unaendelea ili kuweza kuwafikisha watuhumiwa mahakamani.
Sikiliza hapa chini