Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Soma zaidi taarifa ya Ikulu hapa


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameelekeza kupunguzwa kwa tozo kwenye Mafuta zenye thamani ya Bilioni 102 kwa mwaka, lengo likiwa ni kupunguza bei ya mafuta nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Soma zaidi taarifa ya Ikulu hapa

