Dkt. Kezaabu
kufundisha watoto madhara yake na kujua namna ya kujiepusha.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari katika hoteli moja huko mjini Mbarara nchini Uganda, Dr. Kezaabu amesema watu wengi wameathirika kwa filamu za ngono kupitia njia mbali mbali wanazoweza kuzipata, ingawa walishaahidi kulimaliza kutokana na sheria zilizopo.
Pia Dkt. Kezaabu amesema kwamba Mkurugenzi wa maadili na masuala ya dini wa Ofisi ya Rais, mchungaji Canon Aaron sasa anahamasisha umma kuhusu sheria ya kupinga filamu za ngono, na kuonya kwamba yeyote atakayekiuka atakamatwa na kushtakiwa.