Eneo ambalo Alikiba atatolea tamko leo.
Tangazo hilo la tamko rasmi litakuwa 'LIVE' kupitia kipindi cha eNewz ya East Africa Television, kuanzia saa 12:00 jioni, East Africa Radio na kupitia mitandao ya kijamii kwenye ukurasa wa Facebook na YouTube (East Africa TV).
Baada ya tangazo la tamko hilo kutakuwa na hafla 'party' iliyopewa jina la "Unforgettable After Party" katika moja ya ukumbi wa starehe 'Elements' uliopo Masaki Dar Es Salaam.