Mchungaji Mashimo ameandika ujumbe huo kwenye ukurasa wake wa facebook, huku akimtakia mtu aliyemuibia ukurasa wake kuwa aumwe ugonjwa wa kuhara mpaka pale atakapokufa.
Pia Mchungaji Mashimo ameacha namba yake ya mawasiliano ili ndugu wa mtu aliyemuibia ukurasa wake wampigie simu pale watakapoona hali ya ndugu yao ni mbaya, ili akamuombee.