Hamilton kuvunja ukimya Ijumaa hii

Lewis Hamilton

Bingwa mara 7 wa Dunia wa Formula One Lewis Hamilton ataongea kwa mara ya kwanza Mubashara kwenye televisheni ijumaa hii tangu alipoukosa ubingwa wa msimu uliopita mbele ya Max Max Verstappen mwezi Novembe mwaka 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS