Baraza la madiwani kumfukuza mfanyakazi mtoro 

Miongoni mwa wahumbe wa baraza la madiwani wilaya ya Mbinga

Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Mbinga limeazimia kumfukuza kazi mfanyakazi mmoja wa halmashauri hiyo kwa kosa la utoro kazini huku likiwapeleka kwenye kamati ya maadili wafanyakazi watatu wa halmashauri hiyo wakiwa na makosa hayo hayo ya utoro katika vituo vyao vya kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS