Simba SC kulipa kisasi fainali Mapinduzi Cup leo?

(Kikosi cha Simba SC (Juu), kikosi cha Azam FC (Chini) kwa msimu 2021-22)

Michuano ya Kombe la Mapinduzi inataraji kuhitimishwa leo kwa mchezo mmoja wa fainali ambao utawakutanisha Mabingwa wa Kihistoria wa Kombe hilo, Klabu ya Azam dhidi ya Makamu Bingwa , Klabu ya Simba saa 2:15 usiku wa leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS