RC Ruvuma apata uongozi CCM Tanzania bara Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christina Mndeme Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amepitishwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia leo Aprili 30, 2021. Read more about RC Ruvuma apata uongozi CCM Tanzania bara