Terrence Clarke wa NBA, afariki Dunia
Mcheza kikapu chipukizi kutoka chuo kikuu cha mchezo wa mpira wa kikapu cha Kentucky kilichopo nchini Marekani, Terrence Clarke amefariki Dunia mchana wa jana baada ya kupata ya ajali ya gari iliyotokea kwenye jiji la Los Angeles nchini Marekani.