Klopp asajili pacha mpya, safu ya ulinzi

Liverpool wametumia zaidi ya Biolioni 6 za kitanzania kukamilisha usajili wa Ben Davies

Mabingwa wa ligi kuu Engalnd klabu ya Liverpool imefanya usajili wa mabeki wawili wa kati, Ozak Kabak na Ben Davies, masaa machache kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa jana usiku , lakini pia klabu hiyo itakosa huduma ya Joel Matip msimu mzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS