Hatimaye TFF yamrejesha Mwenyekiti Yanga

Makao makuu ya klabu ya Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia kwa kamati yake ya Rufaa ya Uchaguzi chini ya Mwenyekiti wake, Kenneth Mwenda, imemrejesha mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti  wa klabu ya Yanga Yono Kevela ambaye alikuwa ameenguliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS