Aliyepiga Hat-trick ya Mtibwa aongelea rekodi

Mchezaji wa Mtibwa Sugar Jaffary Kihimbwa akiwatoka wachezaji wa Nothern Dynamo.

Jaffar Kibaya ni jina ambalo kuanzia jana limetawala vinywani mwa wapenda soka nchini baada ya kuifungia klabu yake ya Mtibwa Sugar mabao matatu kwenye ushindi wa 4-0 iliopata dhidi ya Northen Dynamo ya Ushelisheli kwenye kombe la shirikisho barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS