TRA ruksa kutembea na polisi ukusanyaji kodi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameibariki Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuendelea kuwatumia TAKUKURU pamoja na Jeshi la Polisi wenye silaha za moto wakati wanapokwenda kukusanya mapato pamoja na kodi kwa wafanyabiashara ambao ni wanaodaiwa sugu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS