Bill Nas kilitaka kumkuta cha Kiba na Diamond
Inasemeka kuwa chanzo cha bifu kati ya Diamond Platnumz na Alikiba kilianzia kwenye wimbo baada ya msanii mmoja kufuta mistari ya msanii mwingine katika wimbo alioshirikishwa, jambo pia lilitaka kutokea kwa Rapa Bill Nas.