Wanawake CUF kuitisha maandamano Jumatatu

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwaijage, akihutubia katika mkutano wa hadhara

Baraza la wanawake wa chama cha wananchi CUF limesema kuwa linakusudia kuitisha maandamano siku ya Jumatatu ili kusisitiza suala la amani nchini Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS