Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwaijage, akihutubia katika mkutano wa hadhara
Baraza la wanawake wa chama cha wananchi CUF limesema kuwa linakusudia kuitisha maandamano siku ya Jumatatu ili kusisitiza suala la amani nchini Zanzibar.