Rais Samia afanya uteuzi Mawaziri

Kushoto ni Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili, Dkt Hassan Abbas, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Balozi Dkt. Pindi Chana, Waziri wa Michezo

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Mawaziri katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Makatibu wakuu wa Wizara hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS