Mkandarasi akabidhiwa mradi wa umeme Tabora

Wakala wa nishati vijijini (REA) kanda ya magharibi imemkabidhi mkandarasi mradi wa kusambaza umeme wenye thamani ya zaidi  ya shilingi billion 6.5 utakao yafikia maeneo 46  ya pembezoni mwa miji ya Nzega na Tabora

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS