Watoto wenye ulemavu wakataa makambi

Watoto wenye wakiwa katika mkutano wa Baraza lao mkoani Mbeya

Watoto wenye ulemavu wa ngozi wamesema kitendo cha wao kuhifadhiwa katika makambi maalum ni cha unyanyasaji na kuchangia kuwaongezea zaidi ulemavu na kuwatenga na watoto wenzao katika jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS