Serikali yachelewa kulipa pensheni kwa wazee

Naibu waziri wa kazi na ajira nchini Tanzania, Makongoro Mahanga (kushoto) akizungumza na aliyewahi kuwa waziri wa maliasili na utalii Ezekiel Maige.

Serikali ya Tanzania imesema imechelewa kuanza kuwalipa Pensheni wazee nchini kutokana na mpango huo kutokamilika, licha ya waziri mkuu kutoa agizo la kuwalipa katika sherehe za kilele cha siku ya wazee Duniani mwaka 2010.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS