
Akipiga stori kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mheshimiwa Temba amesema majungu yaliyopikwa na watu wa nje na tamaa za kuwa na wasanii hao ambao wao wamehangaika kuwatoa kuanzia chini, ndio sababu kubwa ya kundi hilo kusambaratika, kwani kuna watu hao walikuwa wakitamani kuwasimamia wasanii hao mmoja mmoja na sio kundi zima.
Msikilize hapa chini.