Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli katika Studio za East Africa Radio kuzungumzia masuala mbalimbali ya Timu yao.

12 Aug . 2020

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Klabu ya Azam Fc, Zacharia Thabit akiwa katika Studio za East Africa Radio akidadavua jambo kuihusu Timu yake.

12 Aug . 2020

Msanii wa HipHop Bongo Mr Blue

11 Aug . 2020

Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji, Elias Mwanjala (Pichani) Katika Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini zilizopo Karume Jijini Dar es salaam.

11 Aug . 2020

Afisa Muhamasishaji na Msemaji wa Klabu ya Yanga, Antonio Nuggaz (Kushoto) akiwa katika Studio za East Africa Radio kuzungumza na Mashabiki wa Simba na Yanga.

11 Aug . 2020

Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.

11 Aug . 2020

Aliyekua Rais wa TFF , Jamali Malinzi enzi za utawala wake alipokua akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu masuala mbali mbali ya mpira wa miguu.

11 Aug . 2020

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume akipokea msaada wa vifaa tiba kutoka Jamhuri ya watu wa Korea

11 Aug . 2020