Rais Magufuli
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo Ikulu jijini Dar es salaam, wakati akizungumza na Mabalozi ambapo amesema atavialika vyombo vya uangalizi vya kimataifa kuja kuangalia uchaguzi huo.
"Mwaka huu Oktoba tutafanya Uchaguzi Mkuu na tumejipanga kufanyika kwa uhuru amani na haki, na wakati ukifika tutazialika nchi mbaimbali kuja kujionea namna Tanzania inavyokomaa kidemokrasia" amesema Rais Magufuli
Tazama video kamili hapo chini