Rais wa Kwanza wa Zambia, Kenneth Kaunda, wakati wa uhai wake
Vyanzo vya habari vimeeleza kuwa Muasisi huyo wa Taifa la Zambia, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu kuanzia juma hili kutokana na maradhi ya muda mrefu yaliyokuwa yakimsumbua.
Kenneth Kaunda alitumikia taifa hilo la Zambia katika nafasi ya urais kuanzia mwaka 1964 hadi 1991.