
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) dayosisi ya Iringa, Elizabeth Amos, aliyeuawa
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi, amesema tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Kipanduka wilayani kilolo mkoani Iringa ambapo marehemu alienda kwa ajili ya kufanya shughuli za usimamizi wa shamba wilayani humo.
Tazama video hapa chini