
Gareth Bale na Aaron Ramsey wakishangilia goli - Wales
(Sergio Ramos wa Hispania akihuzunika (kushoto), Cristiano Ronaldo wa Ureno akishangili goli (kulia)
Michezo mingine kumi ya Michuano hiyo itapigwa kesho Alhamis huku mchezo unaovuta hisia za wengi ni ule utakao wakutanisha Timu ya Hispania dhidi ya Ureno majira saa 4 kasoro usiku wa kesho, huku mchezo kati ya Albani na Russian ukiondolewa katika ratiba ya michuano hiyo.
Baadhi ya michezo mingine itakayopigwa kesho ni Serbia dhidi ya Norway, Czech Republic dhidi ya Switzerland, Bulgaria dhidi ya Northern Marcedonia na Slovenia dhidi ya Sweden.
Michuano hii inatajwa kuwa mbadala katika kipindi amchano michuano ya kombe la dunia ilikua inafanyika baada ya kuhamia mwezi Novemba mwaka huu tofauti ilivyo fanyika miaka ya awali ambapo ilikua ikifanyika mwezi June hadi Julai.